EFATHA KIGAMBON

EFATHA KIGAMBON
we bling the world to gether with blood of jesus

Ijumaa, 3 Machi 2017

EFATHA KIGAMBON YOUTH ORGANIZATION


Kiongozi wa Vijana wa Efatha kigambon youth organization akishiriki Ibada ya pamoja na wanafunzi wa mashuleni katika Wilaya ya kigamboni kuwa shauli na kuwafundisha ni jinsi gani wana weza
Kusimama  sawa sawa kati ubadae wao na Elimu yao kwaujumla

Kiongozi Uyo aliwataka wanafunzi ao
Washare Changamoto Zao ambazo wanazo zipitia na kuwa saidia na kuhaidi kuwa atakua bega kwa bega kuakikisha
Wanafika maali. 
Katika Elimu pia katika Maisha yao kiujumla, kupitia yesu Kristo wa Efatha.

Jumanne, 27 Agosti 2013

IBAADA

Mtumishi Mungu Anna Kelvin akimtukuza Munngu kwa kupitia huduma ya u wimbaji na kumtukuza Mungu kwaajili ya kigambon na wahaasa wa umini kwa uimbaji akiwambia"Ekaya  siaya" ikiwa ina maana ya kwa
"forward ago" yaani aki maanisha wa umini wakanisa la Mungu wa songembele wasiludi nyuma kwa maana
wokou pekeyake ndio unao mpeleka Mtu kwa Yesu na sio dunia.
Mtumishi aki abudisha kakitika kipindisha maombezi naukombozi wakati wenye magonjwa nauitaji wameamu kuji udhulisha kwa yesu mtendemaajabu na mponya juu mizigo na shida nyingi zinazo
wakabili katika maisha yao.




Jumatatu, 26 Agosti 2013

WATUMISHI WA MUNGU WA KIMTUKUZA MUNGU NA KUUSIFU UZULI WA MUNGU

Mtumishi wa Mungu zileze Japhe akiwa na mwimbaji wakimataifa  katika ibada iliyo fanyika katika kanisala
Huduma ya Efatha kigambon wa kimtukuza Mungu katika mwaka wa mashangilio ndani ya mjiuo
wa kimwambia mungu asante kwaajili ya kigambon
Ndiyo iliyo kwamaana upendo,umoja,ushilikiano ndio asili ya watu wakuu katika kujipongeza na kumshukulu
Mungu na kushilikishana katika neno

Jumapili, 11 Agosti 2013

MTUMISHI WA MUNGU ZILEZE JAPHET AKIFAYA UKOMBOZI KWALIO NA MAITAJI MBALIMBALI

Mtimishi wa mungu Zileze Japhet akiombea wa waumini wake wahabuduo katika kanisa lake la efatha ministy lililopo kigambon katika ibada iliyo fanyika siku ya jumapili ya tarehe 11/08/2013 ambopo wakati  watu wanapeleka shidazao na kutua mizigo yaho kwa bwana baada ya kuelewa juu ya somo lilo fundishwa na mtumishi huyo juu ya Mamlaka itendayo kazi juu ya mwanadu ambayo Mungu
ameiweka ndani ya mwanadamu